< Zaburi 125 >

1 Wale wamwaminio Yahwe ni kama mlima Sayuni, hautikisiki, wadumu milele.
A song of degrees. They that trust in the Lord, shalbe as mount Zion, which can not be remooued, but remaineth for euer.
2 Kama milima inavyo izunguka Yerusalemu, hivyo ndivyo Yahwe anavyo wazunguka watu wake sasa na hata milele.
As the mountaines are about Ierusalem: so is the Lord about his people from henceforth and for euer.
3 Fimbo ya uovu haitatawala katika nchi ya wenye haki. Vinginevyo wenye haki wanaweza kukosea.
For the rod of the wicked shall not rest on the lot of the righteous, least the righteous put forth their hand vnto wickednes.
4 Ee Yahwe, utende wema kwa wale walio wema na wale walio wanyoofu mioyoni mwao.
Doe well, O Lord, vnto those that be good and true in their hearts.
5 Lakini kwa wale wanaogeukia njia zao za upotovu, Yahwe atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani iwe na Israeli.
But these that turne aside by their crooked wayes, them shall the Lord leade with the workers of iniquitie: but peace shalbe vpon Israel.

< Zaburi 125 >