< Zaburi 125 >

1 Wale wamwaminio Yahwe ni kama mlima Sayuni, hautikisiki, wadumu milele.
Hodočasnička pjesma. Tko se uzda u Jahvu, on je kao brdo Sion: ne pomiče se, ostaje dovijeka.
2 Kama milima inavyo izunguka Yerusalemu, hivyo ndivyo Yahwe anavyo wazunguka watu wake sasa na hata milele.
Bregovi okružuju Jeruzalem: Jahve okružuje narod svoj odsada i dovijeka.
3 Fimbo ya uovu haitatawala katika nchi ya wenye haki. Vinginevyo wenye haki wanaweza kukosea.
I neće vladati žezlo bezbožničko nad udesom pravednih, da ne bi pravedni ruke za bezakonjem pružili.
4 Ee Yahwe, utende wema kwa wale walio wema na wale walio wanyoofu mioyoni mwao.
Učini, Jahve, dobro dobrima i čestitima u srcu.
5 Lakini kwa wale wanaogeukia njia zao za upotovu, Yahwe atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani iwe na Israeli.
A koji na krive skreću putove nek' ih istrijebi Jahve sa zločincima! Mir nad Izraelom!

< Zaburi 125 >