< Zaburi 124 >

1 “Kama Yahwe asingekuwa upande wetu,” Israeli na aseme sasa,
Да није био Господ с нама, нека рече Израиљ,
2 “Kama asingekuwa Yahwe ambaye alikuwa upande wetu wakati watu walipoinuka dhidi yetu,
Да није био Господ с нама, кад људи усташе на нас,
3 basi wangekuwa wametumeza tungali hai hasira yao lipozidi dhidi yetu.
Живе би нас прождрли, кад се распали гнев њихов на нас;
4 Maji yangetugharikisha; mto ungetuzidia.
Потопила би нас вода, река би покрила душу нашу;
5 Kisha maji yafurikayo yangetuzamisha.”
Покрила би душу нашу силна вода.
6 Atukuzwe Yahwe, ambaye hajaruhusu tuwe mawindo kwa meno yao.
Благословен Господ, који нас не даде зубима њиховим да нас растржу!
7 Tumetoroka kama ndege mtegoni mwa wawindaji; mtego umevunjika, nasi tumetoroka.
Душа се наша избави као птица из замке ловачке; замка се раскиде, и ми се избависмо.
8 Msaada wetu uko katika Yahwe, aliyeziumba mbingu na nchi.
Помоћ је наша у имену Господњем, који је створио небо и земљу.

< Zaburi 124 >