< Zaburi 124 >

1 “Kama Yahwe asingekuwa upande wetu,” Israeli na aseme sasa,
Canticum graduum. Nisi quia Dominus erat in nobis, dicat nunc Israel:
2 “Kama asingekuwa Yahwe ambaye alikuwa upande wetu wakati watu walipoinuka dhidi yetu,
nisi quia Dominus erat in nobis, Cum exurgerent homines in nos,
3 basi wangekuwa wametumeza tungali hai hasira yao lipozidi dhidi yetu.
forte vivos deglutissent nos: Cum irasceretur furor eorum in nos,
4 Maji yangetugharikisha; mto ungetuzidia.
forsitan aqua absorbuisset nos.
5 Kisha maji yafurikayo yangetuzamisha.”
Torrentem pertransivit anima nostra: forsitan pertransisset anima nostra aquam intolerabilem.
6 Atukuzwe Yahwe, ambaye hajaruhusu tuwe mawindo kwa meno yao.
Benedictus Dominus qui non dedit nos, in captionem dentibus eorum.
7 Tumetoroka kama ndege mtegoni mwa wawindaji; mtego umevunjika, nasi tumetoroka.
Anima nostra sicut passer erepta est de laqueo venantium: Laqueus contritus est, et nos liberati sumus.
8 Msaada wetu uko katika Yahwe, aliyeziumba mbingu na nchi.
Adiutorium nostrum in nomine Domini, qui fecit cælum et terram.

< Zaburi 124 >