< Zaburi 124 >

1 “Kama Yahwe asingekuwa upande wetu,” Israeli na aseme sasa,
Ein Wallfahrtslied. Von David. Wenn der HERR nicht für uns gewesen wäre (so sage Israel),
2 “Kama asingekuwa Yahwe ambaye alikuwa upande wetu wakati watu walipoinuka dhidi yetu,
wenn der HERR nicht für uns gewesen wäre, als die Menschen wider uns auftraten,
3 basi wangekuwa wametumeza tungali hai hasira yao lipozidi dhidi yetu.
so hätten sie uns lebendig verschlungen, als ihr Zorn gegen uns entbrannte;
4 Maji yangetugharikisha; mto ungetuzidia.
dann hätten die Wasser uns überschwemmt, ein Strom wäre über unsre Seele gegangen;
5 Kisha maji yafurikayo yangetuzamisha.”
dann hätten die stolzen Wasser unsre Seele überflutet!
6 Atukuzwe Yahwe, ambaye hajaruhusu tuwe mawindo kwa meno yao.
Gepriesen sei der HERR, der uns ihren Zähnen nicht zur Beute gab!
7 Tumetoroka kama ndege mtegoni mwa wawindaji; mtego umevunjika, nasi tumetoroka.
Unsre Seele ist entronnen wie ein Vögelein der Schlinge des Vogelstellers; die Schlinge ist zerrissen, und wir sind entronnen!
8 Msaada wetu uko katika Yahwe, aliyeziumba mbingu na nchi.
Unsre Hilfe steht im Namen des HERRN, der Himmel und Erde gemacht hat.

< Zaburi 124 >