< Zaburi 124 >

1 “Kama Yahwe asingekuwa upande wetu,” Israeli na aseme sasa,
A SONG OF THE ASCENTS. BY DAVID. If YHWH had not been for us (Pray, let Israel say),
2 “Kama asingekuwa Yahwe ambaye alikuwa upande wetu wakati watu walipoinuka dhidi yetu,
If YHWH had not been for us, In the rising up of man against us,
3 basi wangekuwa wametumeza tungali hai hasira yao lipozidi dhidi yetu.
Then they had swallowed us alive, In the burning of their anger against us,
4 Maji yangetugharikisha; mto ungetuzidia.
Then the waters had overflowed us, The stream passed over our soul,
5 Kisha maji yafurikayo yangetuzamisha.”
Then proud waters had passed over our soul.
6 Atukuzwe Yahwe, ambaye hajaruhusu tuwe mawindo kwa meno yao.
Blessed [is] YHWH who has not given us, [As] prey to their teeth.
7 Tumetoroka kama ndege mtegoni mwa wawindaji; mtego umevunjika, nasi tumetoroka.
Our soul has escaped as a bird from a snare of fowlers, The snare was broken, and we have escaped.
8 Msaada wetu uko katika Yahwe, aliyeziumba mbingu na nchi.
Our help [is] in the Name of YHWH, Maker of the heavens and earth!

< Zaburi 124 >