< Zaburi 124 >

1 “Kama Yahwe asingekuwa upande wetu,” Israeli na aseme sasa,
Hodočasnička pjesma. Davidova. Da nije Jahve za nas bio - neka slobodno rekne Izrael -
2 “Kama asingekuwa Yahwe ambaye alikuwa upande wetu wakati watu walipoinuka dhidi yetu,
da nije Jahve za nas bio: kad se ljudi digoše proti nama,
3 basi wangekuwa wametumeza tungali hai hasira yao lipozidi dhidi yetu.
žive bi nas progutali. Kad je uskipio bijes njihov na nas,
4 Maji yangetugharikisha; mto ungetuzidia.
voda bi nas podavila; bujica bi nas odnijela,
5 Kisha maji yafurikayo yangetuzamisha.”
vode pobješnjele sve nas potopile.
6 Atukuzwe Yahwe, ambaye hajaruhusu tuwe mawindo kwa meno yao.
Blagoslovljen Jahve koji nas ne dade za plijen zubima njihovim!
7 Tumetoroka kama ndege mtegoni mwa wawindaji; mtego umevunjika, nasi tumetoroka.
Duša je naša poput ptice umakla iz zamke lovaca: raskinula se zamka, a mi umakosmo!
8 Msaada wetu uko katika Yahwe, aliyeziumba mbingu na nchi.
Pomoć je naša u imenu Jahve koji stvori nebo i zemlju.

< Zaburi 124 >