< Zaburi 124 >

1 “Kama Yahwe asingekuwa upande wetu,” Israeli na aseme sasa,
大衛上行之詩。 以色列人要說: 若不是耶和華幫助我們,
2 “Kama asingekuwa Yahwe ambaye alikuwa upande wetu wakati watu walipoinuka dhidi yetu,
若不是耶和華幫助我們, 當人起來攻擊我們、
3 basi wangekuwa wametumeza tungali hai hasira yao lipozidi dhidi yetu.
向我們發怒的時候, 就把我們活活地吞了。
4 Maji yangetugharikisha; mto ungetuzidia.
那時,波濤必漫過我們, 河水必淹沒我們,
5 Kisha maji yafurikayo yangetuzamisha.”
狂傲的水必淹沒我們。
6 Atukuzwe Yahwe, ambaye hajaruhusu tuwe mawindo kwa meno yao.
耶和華是應當稱頌的! 他沒有把我們當野食交給他們吞吃。
7 Tumetoroka kama ndege mtegoni mwa wawindaji; mtego umevunjika, nasi tumetoroka.
我們好像雀鳥,從捕鳥人的網羅裏逃脫; 網羅破裂,我們逃脫了。
8 Msaada wetu uko katika Yahwe, aliyeziumba mbingu na nchi.
我們得幫助, 是在乎倚靠造天地之耶和華的名。

< Zaburi 124 >