< Zaburi 122 >
1 Nilifurahi waliponiambia, “Na twende kwenye Nyumba ya Yahwe.”
मैं ख़ुश हुआ जब वह मुझ से कहने लगे “आओ ख़ुदावन्द के घर चलें।”
2 Ee Yerusalemu, miguu yetu imesimama ndani ya malango yako!
ऐ येरूशलेम! हमारे क़दम, तेरे फाटकों के अन्दर हैं।
3 Ee Yerusalemu, uliojengwa kama mji uliopangiliwa kwa umakini!
ऐ येरूशलेम तू ऐसे शहर के तरह है जो गुनजान बना हो।
4 Makabila huenda juu Yerusalemu, makabila ya Yahwe; kama ushuhuda wa Israeli, kulishukuru jina la Yahwe.
जहाँ क़बीले या'नी ख़ुदावन्द के क़बीले, इस्राईल की शहादत के लिए, ख़ुदावन्द के नाम का शुक्र करने को जातें हैं।
5 Huko viliwekwa viti vya hukumu, viti vya enzi vya nyumba ya Daudi.
क्यूँकि वहाँ 'अदालत के तख़्त, या'नी दाऊद के ख़ान्दान के तख़्त क़ाईम हैं।
6 Ombeni kwa ajili ya amani ya Yerusalemu! “Wote wakupendao wawe na amani.
येरूशलेम की सलामती की दुआ करो, वह जो तुझ से मुहब्बत रखते हैं इकबालमंद होंगे।
7 Amani iwepo ndani ya kuta zako ili ikutetee, na wawe na amani ndani ya ngome zako.”
तेरी फ़सील के अन्दर सलामती, और तेरे महलों में इकबालमंदी हो।
8 Kwa ajili ya ndugu zangu na rafiki zangu nitasema, “Amani iwe ndani yenu.”
मैं अपने भाइयों और दोस्तों की ख़ातिर, अब कहूँगा तुझ में सलामती रहे!
9 Kwa ajili ya Yahwe Mungu wetu, nitatafuta mema kwa ajili yako.
ख़ुदावन्द अपने ख़ुदा के घर की ख़ातिर, मैं तेरी भलाई का तालिब रहूँगा।