Preface
Bibles
+
SWN
CSG
X
<
h6154B
X
<
^
>
<
>
<
Zaburi
122
>
1
Nilifurahi waliponiambia, “Na twende kwenye Nyumba ya Yahwe.”
我喜歡,因為有人向我說:我們要進入上主的聖殿。
2
Ee Yerusalemu, miguu yetu imesimama ndani ya malango yako!
耶路撒冷!我們的雙足已經站立在您的門口。
3
Ee Yerusalemu, uliojengwa kama mji uliopangiliwa kwa umakini!
耶路撒冷的建築好似京城,確是內部劃一整齊的京城。
4
Makabila huenda juu Yerusalemu, makabila ya Yahwe; kama ushuhuda wa Israeli, kulishukuru jina la Yahwe.
各支派,上主的各支派都齊聚在那裡,按照以色列的法律讚頌上主的名字。
5
Huko viliwekwa viti vya hukumu, viti vya enzi vya nyumba ya Daudi.
那裡設立了執政者的座席,那裡有達味王室的寶位。
6
Ombeni kwa ajili ya amani ya Yerusalemu! “Wote wakupendao wawe na amani.
請為耶路撒冷祈禱和平;願愛慕您的人獲享安寧,
7
Amani iwepo ndani ya kuta zako ili ikutetee, na wawe na amani ndani ya ngome zako.”
願在您的城垣內有平安,願在您的堡壘中有安全。
8
Kwa ajili ya ndugu zangu na rafiki zangu nitasema, “Amani iwe ndani yenu.”
為了我的兄弟和同伴們,我要向您說:祝您平安!
9
Kwa ajili ya Yahwe Mungu wetu, nitatafuta mema kwa ajili yako.
為了上主我們天主的殿宇,我為您懇切祈禱,祝您幸福。
<
Zaburi
122
>
Go to
>
Bookmark
/
Concordance
/
Maps
/
Report Issue
The world's first Holy Bible un-translation!