< Zaburi 121 >
1 Nitayainua macho yangu nitazame milimani. Msaada wangu utatoka wapi?
都もうでの歌 わたしは山にむかって目をあげる。わが助けは、どこから来るであろうか。
2 Msaada wangu unatoka kwa Yahwe, aliyezifanya mbingu na nchi.
わが助けは、天と地を造られた主から来る。
3 Hatauacha mguu wako uteleze; yeye akulindaye hatasinzia.
主はあなたの足の動かされるのをゆるされない。あなたを守る者はまどろむことがない。
4 Tazama, mlinzi wa Israeli hatasinzia wala hatalala usingizi kamwe.
見よ、イスラエルを守る者はまどろむこともなく、眠ることもない。
5 Yahwe ni mlinzi wako; Yahwe ni uvuli mkono wako wa kuume.
主はあなたを守る者、主はあなたの右の手をおおう陰である。
6 Jua halitakudhuru wakati wa mchana, wala mwezi wakati wa usiku.
昼は太陽があなたを撃つことなく、夜は月があなたを撃つことはない。
7 Yahwe atakulinda na madhara yote, na ataulinda uhai wako.
主はあなたを守って、すべての災を免れさせ、またあなたの命を守られる。
8 Yahwe atakulinda katika yote ufanyayo sasa na hata milele.
主は今からとこしえに至るまで、あなたの出ると入るとを守られるであろう。