< Zaburi 121 >
1 Nitayainua macho yangu nitazame milimani. Msaada wangu utatoka wapi?
१यात्रा का गीत मैं अपनी आँखें पर्वतों की ओर उठाऊँगा। मुझे सहायता कहाँ से मिलेगी?
2 Msaada wangu unatoka kwa Yahwe, aliyezifanya mbingu na nchi.
२मुझे सहायता यहोवा की ओर से मिलती है, जो आकाश और पृथ्वी का कर्ता है।
3 Hatauacha mguu wako uteleze; yeye akulindaye hatasinzia.
३वह तेरे पाँव को टलने न देगा, तेरा रक्षक कभी न ऊँघेगा।
4 Tazama, mlinzi wa Israeli hatasinzia wala hatalala usingizi kamwe.
४सुन, इस्राएल का रक्षक, न ऊँघेगा और न सोएगा।
5 Yahwe ni mlinzi wako; Yahwe ni uvuli mkono wako wa kuume.
५यहोवा तेरा रक्षक है; यहोवा तेरी दाहिनी ओर तेरी आड़ है।
6 Jua halitakudhuru wakati wa mchana, wala mwezi wakati wa usiku.
६न तो दिन को धूप से, और न रात को चाँदनी से तेरी कुछ हानि होगी।
7 Yahwe atakulinda na madhara yote, na ataulinda uhai wako.
७यहोवा सारी विपत्ति से तेरी रक्षा करेगा; वह तेरे प्राण की रक्षा करेगा।
8 Yahwe atakulinda katika yote ufanyayo sasa na hata milele.
८यहोवा तेरे आने-जाने में तेरी रक्षा अब से लेकर सदा तक करता रहेगा।