< Zaburi 121 >

1 Nitayainua macho yangu nitazame milimani. Msaada wangu utatoka wapi?
上行之詩。 我要向山舉目; 我的幫助從何而來?
2 Msaada wangu unatoka kwa Yahwe, aliyezifanya mbingu na nchi.
我的幫助 從造天地的耶和華而來。
3 Hatauacha mguu wako uteleze; yeye akulindaye hatasinzia.
他必不叫你的腳搖動; 保護你的必不打盹!
4 Tazama, mlinzi wa Israeli hatasinzia wala hatalala usingizi kamwe.
保護以色列的, 也不打盹也不睡覺。
5 Yahwe ni mlinzi wako; Yahwe ni uvuli mkono wako wa kuume.
保護你的是耶和華; 耶和華在你右邊蔭庇你。
6 Jua halitakudhuru wakati wa mchana, wala mwezi wakati wa usiku.
白日,太陽必不傷你; 夜間,月亮必不害你。
7 Yahwe atakulinda na madhara yote, na ataulinda uhai wako.
耶和華要保護你,免受一切的災害; 他要保護你的性命。
8 Yahwe atakulinda katika yote ufanyayo sasa na hata milele.
你出你入,耶和華要保護你, 從今時直到永遠。

< Zaburi 121 >