< Zaburi 121 >
1 Nitayainua macho yangu nitazame milimani. Msaada wangu utatoka wapi?
我舉目向聖山瞻望,我的救助要來自何方。
2 Msaada wangu unatoka kwa Yahwe, aliyezifanya mbingu na nchi.
我的救助來自上主,是他創造了天地宇宙。
3 Hatauacha mguu wako uteleze; yeye akulindaye hatasinzia.
他決不讓您的腳滑倒;保護您的也決不睡覺。
4 Tazama, mlinzi wa Israeli hatasinzia wala hatalala usingizi kamwe.
看那保護以色列者,不打盹也不會睡著。
5 Yahwe ni mlinzi wako; Yahwe ni uvuli mkono wako wa kuume.
上主站在您的右邊,作您的護衛和保全。
6 Jua halitakudhuru wakati wa mchana, wala mwezi wakati wa usiku.
白天太陽必不傷您,黑夜月亮也不害您。
7 Yahwe atakulinda na madhara yote, na ataulinda uhai wako.
上主保護您於任何災患,上主保護您的心靈平安。
8 Yahwe atakulinda katika yote ufanyayo sasa na hata milele.
上主保護您出外,保護您回來,從現在起一直到永遠。