< Zaburi 120 >
1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
Cántico gradual. A JEHOVÁ llamé estando en angustia, y él me respondió.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
Libra mi alma, oh Jehová, de labio mentiroso, de la lengua fraudulenta.
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
¿Qué te dará, ó qué te aprovechará, oh lengua engañosa?
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Agudas saetas de valiente, con brasas de enebro.
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
¡Ay de mí, que peregrino en Mesech, [y] habito entre las tiendas de Kedar!
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Mucho se detiene mi alma con los que aborrecen la paz.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
Yo soy pacífico: mas ellos, así que hablo, [me] hacen guerra.