< Zaburi 120 >

1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
Pesem preizvrstna. Gospoda sem klical v največji stiski svoji, in uslišal me je.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
Gospod, reši me ustne lažnjive, zvijačnega jezika.
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
Kaj naj ti dá, ali kaj pridene jezik zvijačni?
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Besede podobne ostrim pušicam mogočnega, primérne žarjavici brinjevi.
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Gorjé meni, ker popotujem toliko časa, stanujem kakor prebivalci šatorov Kedarski.
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Predolgo zdí se duši moji da je prebivala pri sovražniku mirú.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
Jaz ljubim mir, ali ko govorim, kličejo oni na boj.

< Zaburi 120 >