< Zaburi 120 >

1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
Cântico dos degraus: Em minha angústia clamei ao SENHOR, e ele me respondeu.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
Ó SENHOR, livra minha alma dos lábios mentirosos, da língua enganadora.
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
O que ele te dará, e o que ele fará contigo, ó língua enganadora?
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Flechas afiadas de um guerreiro, com brasas de zimbro.
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Ai de mim, que peregrino em Meseque, [e] habito nas tendas de Quedar!
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Minha alma morou [tempo] demais com os que odeiam a paz.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
Eu sou da paz; mas quando falo, eles [entram] em guerra.

< Zaburi 120 >