< Zaburi 120 >

1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
Zarándoklás éneke. Szorultságomban az Örökkévalóhoz kiáltottam föl és ő meghallgatott engem.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
Örökkévaló, mentsd meg lelkemet hazug ajaktól, csalárdság nyelvétől!
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
Mit ad neked és mit gyarapit neked a csalárdság nyelve?
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Vitéznek élesített nyilai, meg rekettyének parazsa!
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Jaj nekem, hogy Mésekhnél tartózkodtam, lakoztam Kédár sátrai mellett!
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Sokat lakozott a lelkem a béke gyülölői mellett.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
Én merő béke vagyok; de midőn beszélek, ők harczra készek.

< Zaburi 120 >