< Zaburi 120 >
1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
Ein Wallfahrtslied. Ich rief zum HERRN in meiner Not, und er erhörte mich.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
HERR, rette meine Seele von den Lügenmäulern, von den falschen Zungen!
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
Was kann dir anhaben und was noch weiter tun die falsche Zunge?
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Sie ist wie scharfe Pfeile eines Starken aus glühendem Ginsterholz.
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Wehe mir, daß ich in der Fremde zu Mesech weilen, daß ich bei den Zelten Kedars wohnen muß!
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Lange genug hat meine Seele bei denen gewohnt, die den Frieden hassen!
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
Ich bin für den Frieden; doch wenn ich rede, so sind sie für den Krieg.