< Zaburi 120 >
1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
Ein Wallfahrtslied. Ich rief zum HERRN in meiner Not:
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
O HERR, errette mich von der Lügenlippe, von der trügerischen Zunge!
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
Was wird Er dir jetzt und in Zukunft bescheren, du trügerische Zunge?
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Geschärfte Kriegerpfeile samt Kohlen vom Ginsterstrauch!
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Wehe mir, daß ich als Fremdling in Mesech weile, daß ich wohne bei den Zelten von Kedar!
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Lange genug schon weile ich hier bei Leuten, die den Frieden hassen.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
Ich bin ganz friedlich gestimmt, doch was ich auch rede: sie gehen auf Krieg aus.