< Zaburi 120 >

1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
Matkalaulu. Ahdistuksessani minä huudan Herraa, ja hän vastaa minulle.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
Herra, pelasta minun sieluni valheellisista huulista, petollisesta kielestä.
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
Mitä hän sinulle antaa ja mitä siihen vielä lisää, sinä petollinen kieli?
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Väkivaltaisen teräviä nuolia ynnä kinsteripensaan tulisia hiiliä!
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Voi minua, että minun täytyy oleskella muukalaisena Mesekissä, asua Keedarin majojen keskellä!
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Kauan on minun sieluni täytynyt asua niiden seurassa, jotka rauhaa vihaavat.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
Minä pidän rauhan, mutta jos sanan sanon, niin he ovat sotaan valmiit.

< Zaburi 120 >