< Zaburi 120 >

1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
Veisu korkeimmassa Kuorissa. Minä huudan Herraa minun tuskissani, ja hän kuulee minun rukoukseni.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
Herra, pelasta minun sieluni valhettelevista suista ja vääristä kielistä?
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
Mitä väärä kieli taitaa sinulle tehdä? ja mitä se taitaa toimittaa?
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Se on niinkuin väkevän terävät nuolet, niinkuin tuli katajissa.
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Voi minua, että minä olen muukalainen Mesekin seassa! minun täytyy asua Kedarin majain seassa.
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Se tulee minun sielulleni ikäväksi, asua niiden tykönä, jotka rauhaa vihaavat.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
Minä pidän rauhan, mutta kuin minä puhun, niin he sodan nostavat.

< Zaburi 120 >