< Zaburi 120 >

1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
A song of ascents. In distress I cried to the Lord, and he answered me.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
“Deliver me, Lord, from the lip that is false and the tongue that is crafty.”
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
What shall he give to you, you tongue that is crafty? What yet shall he give to you?
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Arrows of warrior, sharpened, with glowing broom coals together.
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Woe is me that I sojourn in Meshech, that I live by the tents of Kedar.
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Already too long have I dwelt among those who hate peace.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
I am for peace: but when I speak of it, they are for war.

< Zaburi 120 >