< Zaburi 120 >
1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
A Song of Ascents. In my distress I called unto the LORD, and He answered me.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
O LORD, deliver my soul from lying lips, from a deceitful tongue.
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
What shall be given unto thee, and what shall be done more unto thee, thou deceitful tongue?
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Sharp arrows of the mighty, with coals of broom.
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Woe is me, that I sojourn with Meshech, that I dwell beside the tents of Kedar!
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
My soul hath full long had her dwelling with him that hateth peace.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
I am all peace; but when I speak, they are for war.