< Zaburi 120 >

1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
A Song of Degrees. In mine affliction I cried to the Lord, and he listened to me.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
Deliver my soul, O Lord, from unjust lips, and from a deceitful tongue.
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
What should be given to you, and what should be added to you, for [your] crafty tongue?
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Sharpened weapons of the mighty, with coals of the desert.
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Woe is me, that my sojourning is prolonged; I have tabernacled amongst the tents of Kedar.
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
My soul has long been a sojourner;
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
I was peaceful amongst them that hated peace; when I spoke to them, they warred against me without a cause.

< Zaburi 120 >