< Zaburi 120 >
1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
A song of ascents. In my distress I cried to the LORD, and He answered me.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
Deliver my soul, O LORD, from lying lips and a deceitful tongue.
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
What will He do to you, and what will be added to you, O deceitful tongue?
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Sharp arrows will come from the warrior, with burning coals of the broom tree!
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Woe to me that I dwell in Meshech, that I live among the tents of Kedar!
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Too long have I dwelt among those who hate peace.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
I am in favor of peace; but when I speak, they want war.