< Zaburi 120 >
1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
Píseň stupňů. K Hospodinu v ssoužení svém volal jsem, a vyslyšel mne.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
Hospodine, vysvoboď duši mou od rtů lživých, a od jazyka lstivého.
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
Coť prospěje, aneb coť přidá jazyk lstivý,
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Podobný k střelám přeostrým silného, a k uhlí jalovcovému?
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Běda mně, že pohostinu býti musím v Mešech, a přebývati v saláších Cedarských.
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Dlouho bydlí duše má mezi těmi, kteříž nenávidí pokoje.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
Já ku pokoji, ale když mluvím, oni k boji.