< Zaburi 12 >
1 Msaada, Yahweh, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka; nao waaminifu wametokomea.
Salva-nos, Senhor, porque faltam os homens bons; porque são poucos os fieis entre os filhos dos homens.
2 Kila mmoja anasema kwa jirani yake maneno matupu; kila mmoja anaongea kwa midomo yenye sifa za uongo na maneno ya udanganyifu.
Cada um fala a falsidade ao seu próximo: falam com lábios lisongeiros e coração dobrado.
3 Yahweh, katilia mbali midomo yenye sifa za uongo, kila ulimi unanena kwa nguvu mambo makubwa.
O Senhor cortará todos os lábios lisongeiros e a língua que fala soberbamente.
4 Hawa ni wale ambao wamesema, “Kwa ndimi zetu tutashinda. Wakati midomo yetu itakapo ongea, ni nani atakaye kuwa mtawala juu yetu?”
Pois dizem: Com a nossa língua prevaleceremos: são nossos os beiços; quem é o Senhor sobre nós?
5 “Kwa sababu ya vurugu zilizopo kinyume na maskini, na kwa sababu ya kuugua kwao wahitaji, Nitainuka,” asema Yahwe. “Nitawaletea usalama wanao hitaji.”
Pela opressão dos miseráveis, pelo gemido dos necessitados me levantarei agora, diz o Senhor; porei em salvo aquele para quem eles assopram.
6 Maneno ya Yahwe ni masafi, kama fedha iliyo safishwa katika tanuru duniani, iliyo ng'arishwa mara saba zaidi.
As palavras do Senhor são palavras puras, como prata refinada em fornalha de barro, purificada sete vezes.
7 Wewe ni Yahwe! Unaye watunza. Una wahifadhi wacha Mungu kutoka katika hiki kizazi cha waovu na hata milele.
Tu os guardarás, Senhor; desta geração os livrarás para sempre.
8 Waovu hutembea kila pande pale uovu unapoinuliwa kati ya wanadamu.
Os ímpios andam cercando, enquanto os mais vis dos filhos dos homens são exaltados.