< Zaburi 12 >
1 Msaada, Yahweh, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka; nao waaminifu wametokomea.
大衛的詩,交與伶長。調用第八。 耶和華啊,求你幫助,因虔誠人斷絕了; 世人中間的忠信人沒有了。
2 Kila mmoja anasema kwa jirani yake maneno matupu; kila mmoja anaongea kwa midomo yenye sifa za uongo na maneno ya udanganyifu.
人人向鄰舍說謊; 他們說話,是嘴唇油滑,心口不一。
3 Yahweh, katilia mbali midomo yenye sifa za uongo, kila ulimi unanena kwa nguvu mambo makubwa.
凡油滑的嘴唇和誇大的舌頭, 耶和華必要剪除。
4 Hawa ni wale ambao wamesema, “Kwa ndimi zetu tutashinda. Wakati midomo yetu itakapo ongea, ni nani atakaye kuwa mtawala juu yetu?”
他們曾說:我們必能以舌頭得勝; 我們的嘴唇是我們自己的, 誰能作我們的主呢?
5 “Kwa sababu ya vurugu zilizopo kinyume na maskini, na kwa sababu ya kuugua kwao wahitaji, Nitainuka,” asema Yahwe. “Nitawaletea usalama wanao hitaji.”
耶和華說:因為困苦人的冤屈 和貧窮人的歎息, 我現在要起來, 把他安置在他所切慕的穩妥之地。
6 Maneno ya Yahwe ni masafi, kama fedha iliyo safishwa katika tanuru duniani, iliyo ng'arishwa mara saba zaidi.
耶和華的言語是純淨的言語, 如同銀子在泥爐中煉過七次。
7 Wewe ni Yahwe! Unaye watunza. Una wahifadhi wacha Mungu kutoka katika hiki kizazi cha waovu na hata milele.
耶和華啊,你必保護他們; 你必保佑他們永遠脫離這世代的人。
8 Waovu hutembea kila pande pale uovu unapoinuliwa kati ya wanadamu.
下流人在世人中升高, 就有惡人到處遊行。