< Zaburi 118 >
1 Mshukuruni Yahwe, kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Andriaño t’Iehovà amy te Ie ro soa! nainai’e ty fiferenaiña’e.
2 Israeli na aseme, “Uaminifu wa agano lake wadumu milele.”
Anò ty hoe ry Israele: nainai’e ty fiferenaiña’e.
3 Nyumba ya Haruni na iseme, “Uaminifu wa agano lake wadumu milele.”
Anò ty hoe ry anjomba’ i Aharoneo: nainai’e ty fiferenaiña’e.
4 Wafuasi waaminifu wa Yahwe na waseme, “Uaminifu wa agano lake wadumu milele.”
Anò ty hoe ry mpañeveñe am’ Iehovà: nainai’e ty fiferenaiña’e.
5 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe; Yahwe alinijibu na kuniweka huru.
Nalovilovy iraho, le nitoreo am’ Ià; nanoiñe ahiko t’Ià, le navotra’e an-gadagadañe eo.
6 Yahwe yuko pamoja nami; sitaogopa; mwanadamu atanifanya nini? Yahwe yuko upande wangu kama msaidizi;
Amako t’Iehovà, tsy ho hemban-draho, ino ty hanoa’ondatio?
7 nitawatazama kwa ushindi wale walio nichukia.
Amako t’Iehovà, mpañolotse ahiko, le ho sambaeko o malaiñ’ ahio.
8 Ni bora kuwa na makazi katika Yahwe kuliko kumtumainia mwanadamu.
Hamake t’ie mipalitse am’ Iehovà, ta te misazok’ am’ ondatio.
9 Ni bora kukimbilia katika Yahwe kuliko kuamini katika wakuu.
Kitra’e mitsolok’ am’ Iehovà, ta te mirampy amo roandriañeo.
10 Mataifa yote walinizunguka; kwa jina la Yahwe niliwakatilia mbali.
Hene miarikoboñe ahy o fifeheañeo fe iatoako ty tahina’ Iehovà.
11 Walinizunguka; naam, walinizunguka; kwa jina la Yahwe niliwakatilia mbali.
Miarikatok’ ahy iereo, eka, toe misambory amako, fe iatoko ty tahina’ Iehovà.
12 Walinizunguka kama nyuki; walitoweka haraka kama moto kati ya miiba; kwa jina la Yahwe niliwakatilia mbali.
Niropak’ amako hoe rene-tantele iereo, f’ie hakipike hoe fatike mirehetse; toe iatoako ty tahina’Iehovà.
13 Walinishambulia ili waniangushe, lakini Yahwe alinisaidia.
Nanafasiotse ahy iereo hikorovohako, fe nañimb’ ahy t’Iehovà.
14 Yahwe ni nguvu yangu na furaha yangu, na ndiye anaye niokoa.
Iehovà ro haozarako naho saboko, ie ro fandrombahañe ahy henane zao.
15 Kelele za ushindi zimesikika katika maskani ya wenye haki; mkono wa kuume wa Mungu umeshinda.
Inao ty feom-pirebehañe naho fandrombahañe an-kivoho’ o vañoñeo ao: mavitrike ty fitoloñam-pitàn-kavana’ Iehovà.
16 Mkono wa kuume wa Mungu umetukuka; mkono wa kuume wa Yahwe umeshinda.
Mizonjoñe ty fitàn-kavana’ Iehovà; mahimbañe ty fitàn-kavana’ Iehovà.
17 Sitakufa, bali nitaishi na kuyatangaza matendo ya Yahwe.
Tsy hikenkan-draho fa ho veloñe, hataliliko o sata’ Iehovào.
18 Yahwe ameniadhibu vikali; lakini hajaruhusu nife.
Nanilofe’ Ià am-pandilovan-draho, fe tsy natolo’e an-kavilasy.
19 Unifungulie milango ya haki; nitaingia na nitamshukuru Yahwe.
Sokafo ho ahy o lalam-bein-kavantañañeo, hizilihako, hañandriañako Iehovà.
20 Hili ni lango la Yahwe; wenye haki hupitia kwalo.
Intoy ty lalam-bei’ Iehovà, hiziliha’o vañoñeo.
21 Nitakushukuru wewe, kwa kuwa ulinijibu, na umekuwa wokovu wangu.
Andriañekoo amy te tinoi’o, fa Ihe ro fandrombahañe ahy.
22 Jiwe ambalo wajenzi walilikataa wajenzi limekuwa msingi.
I vato nado’ o mpandrafitseoy le fa talèm-batolahy.
23 Yahwe ndiye afanyaye hili; ni la ajabu machoni petu.
Sata’ Iehovà izay, le fiain-tane am-pihainon-tikañe.
24 Hii ni siku ambayo Yahwe ametenda; tutaifurahia na kuishangilia.
Itoy ty andro tsinene’ Iehovà, antao hirebeke naho hifale ama’e.
25 Tafadhali, Yahwe, utupe ushindi! Tafadhali, Yahwe, utupe mafanikio!
Ry Iehovà, Ehe, rombaho zahay henaneo! ry Iehovà, Ehe, ampiraoraò henane zao!
26 Amebarikiwa yule ajaye katika jina la Yahwe; tunakubariki kutoka katika nyumba ya Yahwe.
Andriañeñe ty mitotsak’ ami’ty tahina’ Iehovà! mañandriañe azo zahay boak’añ’anjomba’Iehovà ao.
27 Yahwe ni Mungu, na ametupa sisi nuru; ifungeni dhabihu kwa kamba pembeni mwa madhabahu.
Andrianañahare t’Iehovà, Ie ty nanolotse hazavàñe amantika; mireketa reke-tsampañe amo mpamonje sabadidakeo, mivovotse mb’ an-tsifa’ i kitreliy mb’eo.
28 Wewe ni Mungu wangu, nami nitakushukuru; wewe ni Mungu wangu; nitakutukuza wewe.
Ihe ro Andrianañahareko, le andriañekoo; Andrianañahareko irehe, ho zonjoñeko.
29 Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema; kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Andriaño t’Iehovà amy te ie ro soa! nainai’e ty fiferenaiña’e.