< Zaburi 118 >

1 Mshukuruni Yahwe, kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kathutkung: Panuekhoeh Oe BAWIPA koe lunghawilawk dei awh. Bangkongtetpawiteh, ama teh ahawi, a lungmanae teh a yungyoe a kangning.
2 Israeli na aseme, “Uaminifu wa agano lake wadumu milele.”
A lungmanae teh a yungyoe a kangning telah Isarelnaw ni atu dei awh naseh.
3 Nyumba ya Haruni na iseme, “Uaminifu wa agano lake wadumu milele.”
A lungmanae teh a yungyoe a kangning telah Aron imthung ni atu dei awh naseh.
4 Wafuasi waaminifu wa Yahwe na waseme, “Uaminifu wa agano lake wadumu milele.”
A lungmanae teh a yungyoe a kangning telah BAWIPA ka taket e naw ni atu dei awh naseh.
5 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe; Yahwe alinijibu na kuniweka huru.
Ka lungpout nah BAWIPA ka kaw teh, BAWIPA ni hai na pato teh, hmuen akawnae koe na o sak.
6 Yahwe yuko pamoja nami; sitaogopa; mwanadamu atanifanya nini? Yahwe yuko upande wangu kama msaidizi;
BAWIPA ni na kampangkhai dawkvah ka taket mahoeh, Tami ni kai lathueng bangmouh a sak thai han.
7 nitawatazama kwa ushindi wale walio nichukia.
BAWIPA teh na kabawm e lah ao. Hatdawkvah, na ka hmuhma e naw koe ka lungngai akuep han.
8 Ni bora kuwa na makazi katika Yahwe kuliko kumtumainia mwanadamu.
Tami kâuep hlak BAWIPA kâuep ahawihnawn.
9 Ni bora kukimbilia katika Yahwe kuliko kuamini katika wakuu.
Bawinaw kâuep hlak BAWIPA kâuep ahawihnawn.
10 Mataifa yote walinizunguka; kwa jina la Yahwe niliwakatilia mbali.
Miphun pueng ni na kalup awh. Hatei, ahnimanaw teh BAWIPA min lahoi koung ka raphoe han.
11 Walinizunguka; naam, walinizunguka; kwa jina la Yahwe niliwakatilia mbali.
Ahnimouh ni na kalup awh, na tuembue awh. Hatei, BAWIPA min lahoi koung ka raphoe han.
12 Walinizunguka kama nyuki; walitoweka haraka kama moto kati ya miiba; kwa jina la Yahwe niliwakatilia mbali.
Khoi ni a kayo e patetlah na kalup nakunghai, buruk hmai kang e patetlah a roum awh. Bangkongtetpawiteh, BAWIPA min lahoi koung ka raphoe han.
13 Walinishambulia ili waniangushe, lakini Yahwe alinisaidia.
Ka rawp nahanlah puenghoi na ka tanawt nakunghai, BAWIPA ni na kabawp.
14 Yahwe ni nguvu yangu na furaha yangu, na ndiye anaye niokoa.
BAWIPA teh ka tha hoi ka la doeh. Ahni teh kaie rungngangnae doeh.
15 Kelele za ushindi zimesikika katika maskani ya wenye haki; mkono wa kuume wa Mungu umeshinda.
Tami kalannaw e rim dawkvah, konawmnae pawlawk hoi rungngangnae pawlawk teh ao. BAWIPA e aranglae kut ni taranhawinae lahoi a tawk.
16 Mkono wa kuume wa Mungu umetukuka; mkono wa kuume wa Yahwe umeshinda.
BAWIPA e aranglae kut teh, tawm lah ao teh, BAWIPA e aranglae kut ni taranhawi lahoi ouk a tawk.
17 Sitakufa, bali nitaishi na kuyatangaza matendo ya Yahwe.
Dout laipalah, ka hring vaiteh, BAWIPA hnosak e hah ka pâpho han.
18 Yahwe ameniadhibu vikali; lakini hajaruhusu nife.
BAWIPA ni puenghoi na yue, hatei due hane teh pasoung hoeh rah.
19 Unifungulie milango ya haki; nitaingia na nitamshukuru Yahwe.
Lannae takhang teh na paawng pouh haw. Hawvah ka kâen vaiteh, BAWIPA ka pholen han.
20 Hili ni lango la Yahwe; wenye haki hupitia kwalo.
Hethateh, BAWIPA e longkha, tami kalannaw a kâen nahane doeh.
21 Nitakushukuru wewe, kwa kuwa ulinijibu, na umekuwa wokovu wangu.
Nang teh, na pholen han. Bangkongtetpawiteh, nang ni na pato teh, kaie rungngangnae lah na o.
22 Jiwe ambalo wajenzi walilikataa wajenzi limekuwa msingi.
Im kasakkungnaw ni a pahnawt awh e talung hah alawkpui poung e a takinlung lah ao.
23 Yahwe ndiye afanyaye hili; ni la ajabu machoni petu.
Hothateh, BAWIPA ni a sak e doeh. Maimae mithmu haiyah kângairu hanlah ao.
24 Hii ni siku ambayo Yahwe ametenda; tutaifurahia na kuishangilia.
Hethateh, BAWIPA ni a sak e hnin a tho. Hote hnin dawkvah, lunghawi awh han. Konawm awh han.
25 Tafadhali, Yahwe, utupe ushindi! Tafadhali, Yahwe, utupe mafanikio!
Oe BAWIPA, atu na rungngang haw telah ka ratoum. Oe BAWIPA kuepcingnae hah na poe haw telah ka ratoum.
26 Amebarikiwa yule ajaye katika jina la Yahwe; tunakubariki kutoka katika nyumba ya Yahwe.
BAWIPA min lahoi ka tho e teh tami yawkahawi e doeh. BAWIPA imthung hoi yawhawi teh na poe awh.
27 Yahwe ni Mungu, na ametupa sisi nuru; ifungeni dhabihu kwa kamba pembeni mwa madhabahu.
Cathut teh BAWIPA lah ao teh angnae hah na poe awh toe. Thueng nahane hateh thuengnae khoungroe ki dawk rui hoi pâkhit nateh pen awh.
28 Wewe ni Mungu wangu, nami nitakushukuru; wewe ni Mungu wangu; nitakutukuza wewe.
Nang teh, kaie Cathut lah na o, na pholen han. Nang teh, ka Cathut lah na o. Na tawm han.
29 Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema; kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Oe, BAWIPA koe lunghawilawk dei awh. Bangkongtetpawiteh, ama teh ahawi. A lungmanae teh a yungyoe a kangning.

< Zaburi 118 >