< Zaburi 117 >

1 Msifuni Yahwe, enyi mataifa yote; enyi watu mhimidini yeye.
Aleluja! Hvalite Jahvu, svi puci, slavite ga, svi narodi!
2 Kwa kuwa uaminifu wa agano lake ni mkuu kwetu, na uaminifu wa Yahwe wadumu milele. Msifuni Yahwe.
Silna je prema nama ljubav njegova, i vjernost Jahvina ostaje dovijeka!

< Zaburi 117 >