< Zaburi 116 >
1 Nampenda Yahwe kwa kuwa anasikia sauti yangu na kuomba kwangu kwa ajili ya huruma.
Kokoako t’Iehovà amy te janji’e ty feoko naho o halalikoo,
2 Kwa sababu alinisikiliza, nitamuita yeye ningali ninaishi.
Amy te nanokilaña’e ravembia, le ho tokaveko Amy ze hene androko.
3 Kamba za mauti zilinizunguka, na mitego ya kuzimu ilinikabili; niliona dhiki na huzuni. (Sheol )
Nivandire’ o talin-kavilasio iraho, nazi’ i tsikeokeokey; nizò fikoretañe naho anahelo. (Sheol )
4 Kisha niliita kwa jina la Yahwe: “Tafadhali Yahwe, uiokoe nafsi yangu.”
Le nikanjieko ty tahina’ Iehovà: Ehe, r’Iehovà, hahao ty fiaiko!
5 Yahwe ni mwenye neema na haki; Mungu wetu ni mwenye huruma.
Matarike t’Iehovà naho mahity; Eka, mpitretrè t’i Andrianañaharentika.
6 Yahwe huwalinda wasio na hila; nilishushwa chini akaniokoa.
Arova’ Iehovà o trentrañeo, nizo havoretra iraho fe rinomba’e.
7 Nafsi yangu inaweza kurudi mahali pake pa kupumzika, kwa kuwa Yahwe amekuwa mwema kwangu.
Mimpolia mb’am-pitofà’o ao ry fiaiko, fa nampiraorao azo t’Iehovà.
8 Kwa maana uliokoa uhai wangu dhidi ya kifo, mcho yangu dhidi ya machozi, na miguu yangu dhidi ya kujikwaa.
Fa navotso’o an-kavetrahañe ty fiaiko, tsy ho foy rano o masokoo, tsy hitsikapy o tombokoo,
9 Nitamtumikia Yahwe katika nchi ya walio hai.
t’ie hitsontik’ añatrefa’ Iehovà, an-tanen-kaveloñe ao.
10 Nilimwamini yeye, hata niliposema, “nimeteswa sana.”
Nahatoky avao ndra te nataoko ty hoe: Mafe ty fisotriako.
11 Kwa haraka nilisema, “Watu wote ni waongo.”
Hoe iraho te nianifañe: Fonga Remborake ondatio.
12 Nimlipeje Yahwe kwa wema wake wote kwangu?
Akore ty hañavahako am’ Iehovà? ami’ty habein-kasoa’e amako?
13 Nitakiinua kikombe cha wokovu, na kuliitia jina la Yahwe.
Ho zonjoñeko ty fitovim-pandrombahañe vaho hikanjy ty tahina’ Iehovà.
14 Nitatimiza viapo vyangu kwa Yahwe katika uwepo wa watu wake wote.
Havahako o nifantàko am’ Iehovào, añatrefa’ ondati’e iabio.
15 Mauti ya wacha Mungu ina thamani machoni pa Mungu.
Sarotse am-pihaino’ Iehovà ty havilasi’ o noro’eo.
16 Ee Yahwe, hakika, mimi ni mtumishi wako; mimi ni mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako; umefungua vifungo vyangu.
Ry Iehovà, toe mpitoro’o iraho, fetrek’oro’o, ty anan’ anak’ampata’o; fa nabala’o o rohikoo.
17 Nitakutolea dhabihu ya shukrani na nitaliitia jina la Yahwe.
Hengaeko sorom-pañandriañañe, vaho ho kanjieko ty tahina’ Iehovà.
18 Nitatimiza viapo vyangu kwa Yahwe katika uwepo wa watu wake wote,
Hondrohako am’ Iehovà o nifantàkoo, Eka, añatrefa’ ondati’e iabio.
19 katika nyua za nyumba ya Yahwe, katikati yako, Yerusalemu. Msifuni Yahwe.
An-kiririsan’anjomba’ Iehovà eo, añivo’o ao, ry Ierosalaime. Treño t’Ià!