< Zaburi 115 >

1 Sio kwetu, Yahwe, sio kwetu, bali kwa jina lako ulete heshima, kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na uaminifu wako.
Bizi değil, ya RAB, bizi değil, Sevgin ve sadakatin uğruna, Kendi adını yücelt!
2 Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Yuko wapi Mungu wako?”
Niçin uluslar: “Hani, nerede onların Tanrısı?” desin.
3 Mungu wetu aliye mbinguni; hufanya chochote apendacho.
Bizim Tanrımız göklerdedir, Ne isterse yapar.
4 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
Oysa onların putları altın ve gümüşten yapılmış, İnsan elinin eseridir.
5 Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
Ağızları var, konuşmazlar, Gözleri var, görmezler,
6 zina masikio, lakini hazisikii; zina pua lakini hazinusi.
Kulakları var, duymazlar, Burunları var, koku almazlar,
7 Sanamu hizo zina mikono, lakini hazishiki; zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala haziongei kutoka viywani mwao.
Elleri var, hissetmezler, Ayakları var, yürümezler, Boğazlarından ses çıkmaz.
8 Wale wanao zitengeneza wanafanana nazo, vile vile yeyote anaye amini katika hizo.
Onları yapan, onlara güvenen herkes Onlar gibi olacak!
9 Israeli, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
Ey İsrail halkı, RAB'be güven, O'dur yardımcınız ve kalkanınız!
10 Nyumba ya Haruni, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
Ey Harun soyu, RAB'be güven, O'dur yardımcınız ve kalkanınız!
11 Ninyi mnao mheshumu Yahwe, mwamini yeye; yeye ni msaada wenu na ngao yenu.
Ey RAB'den korkanlar, RAB'be güvenin, O'dur yardımcınız ve kalkanınız!
12 Yahwe hutukumbuka sisi na atatubariki; ataibariki familia ya Israeli; atabariki familia ya Haruni.
RAB bizi anımsayıp kutsayacak, İsrail halkını, Harun soyunu kutsayacak.
13 Atawabariki wale wanao muheshimu yeye, wote vijana na wazee.
Küçük, büyük, Kendisinden korkan herkesi kutsayacak.
14 Yahwe na awaongeze ninyi zaidi na zaidi, ninyi pamoja na watoto wenu.
RAB sizi, Sizi ve çocuklarınızı çoğaltsın!
15 Yahwe na awabariki, aliyeziumba mbingu na nchi.
Yeri göğü yaratan RAB Sizleri kutsasın.
16 Mbingu ni za Yahwe; lakini nchi amewapa wanadamu.
Göklerin öteleri RAB'bindir, Ama yeryüzünü insanlara vermiştir.
17 Wafu hawamsifu Yahwe, wala wote washukao chini kwenye ukimya;
Ölüler, sessizlik diyarına inenler, RAB'be övgüler sunmaz;
18 bali tutamtukuza Yahwe sasa na hata milele. Msifuni Yahwe.
Biziz RAB'bi öven, Şimdiden sonsuza dek. RAB'be övgüler sunun!

< Zaburi 115 >