< Zaburi 115 >

1 Sio kwetu, Yahwe, sio kwetu, bali kwa jina lako ulete heshima, kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na uaminifu wako.
No a nosotros, o! Jehová, no a nosotros, mas a tu nombre da gloria; por tu misericordia, por tu verdad.
2 Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Yuko wapi Mungu wako?”
Porque dirán los Gentiles, ¿Dónde está ahora su Dios?
3 Mungu wetu aliye mbinguni; hufanya chochote apendacho.
Y nuestro Dios está en los cielos: todo lo que quiso, hizo.
4 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
Sus ídolos son plata y oro: obra de manos de hombres.
5 Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
Tienen boca, mas no hablarán: tienen ojos, mas no verán.
6 zina masikio, lakini hazisikii; zina pua lakini hazinusi.
Tienen orejas, mas no oirán: tienen narices, mas no olerán.
7 Sanamu hizo zina mikono, lakini hazishiki; zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala haziongei kutoka viywani mwao.
Tienen manos, mas no palparán: tienen pies, mas no andarán: no hablarán con su garganta.
8 Wale wanao zitengeneza wanafanana nazo, vile vile yeyote anaye amini katika hizo.
Como ellos sean los que los hacen: cualquiera que confía en ellos.
9 Israeli, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
O! Israel, confía en Jehová: él es su ayudador, y su escudo.
10 Nyumba ya Haruni, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
Casa de Aarón, confiád en Jehová: él es su ayudador, y su escudo.
11 Ninyi mnao mheshumu Yahwe, mwamini yeye; yeye ni msaada wenu na ngao yenu.
Los que teméis a Jehová, confiád en Jehová: él es su ayudador, y su escudo.
12 Yahwe hutukumbuka sisi na atatubariki; ataibariki familia ya Israeli; atabariki familia ya Haruni.
Jehová se acordó de nosotros: bendecirá, bendecirá a la casa de Israel: bendecirá a la casa de Aarón.
13 Atawabariki wale wanao muheshimu yeye, wote vijana na wazee.
Bendecirá a los que temen a Jehová: a chicos y a grandes.
14 Yahwe na awaongeze ninyi zaidi na zaidi, ninyi pamoja na watoto wenu.
Añadirá Jehová sobre vosotros: sobre vosotros y sobre vuestros hijos.
15 Yahwe na awabariki, aliyeziumba mbingu na nchi.
Benditos vosotros de Jehová, que hizo los cielos y la tierra.
16 Mbingu ni za Yahwe; lakini nchi amewapa wanadamu.
Los cielos, los cielos son de Jehová: y la tierra dio a los hijos de los hombres.
17 Wafu hawamsifu Yahwe, wala wote washukao chini kwenye ukimya;
No los muertos alabarán a Jehová, ni todos los que descienden al silencio,
18 bali tutamtukuza Yahwe sasa na hata milele. Msifuni Yahwe.
Mas nosotros bendeciremos, a Jehová, desde ahora hasta siempre. Alelu- Jah.

< Zaburi 115 >