< Zaburi 115 >

1 Sio kwetu, Yahwe, sio kwetu, bali kwa jina lako ulete heshima, kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na uaminifu wako.
NON NOBIS DOMINE, NON NOBIS: sed nomini tuo da gloriam.
2 Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Yuko wapi Mungu wako?”
Super misericordia tua, et veritate tua: nequando dicant Gentes: Ubi est Deus eorum?
3 Mungu wetu aliye mbinguni; hufanya chochote apendacho.
Deus autem noster in caelo: omnia quaecumque voluit, fecit.
4 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
Simulacra gentium argentum, et aurum, opera manuum hominum.
5 Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
Os habent, et non loquentur: oculos habent, et non videbunt.
6 zina masikio, lakini hazisikii; zina pua lakini hazinusi.
Aures habent, et non audient: nares habent, et non odorabunt.
7 Sanamu hizo zina mikono, lakini hazishiki; zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala haziongei kutoka viywani mwao.
Manus habent, et non palpabunt: pedes habent, et non ambulabunt: non clamabunt in gutture suo.
8 Wale wanao zitengeneza wanafanana nazo, vile vile yeyote anaye amini katika hizo.
Similes illis fiant qui faciunt ea: et omnes qui confidunt in eis.
9 Israeli, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
Domus Israel speravit in Domino: adiutor eorum et protector eorum est.
10 Nyumba ya Haruni, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
Domus Aaron speravit in Domino: adiutor eorum et protector eorum est.
11 Ninyi mnao mheshumu Yahwe, mwamini yeye; yeye ni msaada wenu na ngao yenu.
Qui timent Dominum, speraverunt in Domino: adiutor eorum et protector eorum est.
12 Yahwe hutukumbuka sisi na atatubariki; ataibariki familia ya Israeli; atabariki familia ya Haruni.
Dominus memor fuit nostri: et benedixit nobis: Benedixit domui Israel: benedixit domui Aaron.
13 Atawabariki wale wanao muheshimu yeye, wote vijana na wazee.
Benedixit omnibus, qui timent Dominum, pusillis cum maioribus.
14 Yahwe na awaongeze ninyi zaidi na zaidi, ninyi pamoja na watoto wenu.
Adiiciat Dominus super vos: super vos, et super filios vestros.
15 Yahwe na awabariki, aliyeziumba mbingu na nchi.
Benedicti vos a Domino, qui fecit caelum, et terram.
16 Mbingu ni za Yahwe; lakini nchi amewapa wanadamu.
Caelum caeli Domino: terram autem dedit filiis hominum.
17 Wafu hawamsifu Yahwe, wala wote washukao chini kwenye ukimya;
Non mortui laudabunt te Domine: neque omnes, qui descendunt in infernum. (questioned)
18 bali tutamtukuza Yahwe sasa na hata milele. Msifuni Yahwe.
Sed nos qui vivimus, benedicimus Domino, ex hoc nunc et usque in saeculum.

< Zaburi 115 >