< Zaburi 115 >

1 Sio kwetu, Yahwe, sio kwetu, bali kwa jina lako ulete heshima, kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na uaminifu wako.
Ne nama, o Jahve, ne nama, već svom imenu slavu daj zbog ljubavi i vjernosti svoje.
2 Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Yuko wapi Mungu wako?”
Zašto da govore pogani: “TÓa gdje je Bog njihov?”
3 Mungu wetu aliye mbinguni; hufanya chochote apendacho.
Naš je Bog na nebesima, sve što mu se svidi to učini.
4 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
Idoli su njihovi srebro i zlato, ljudskih su ruku djelo.
5 Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
Usta imaju, a ne govore, oči imaju, a ne vide.
6 zina masikio, lakini hazisikii; zina pua lakini hazinusi.
Uši imaju, a ne čuju, nosnice, a ne mirišu.
7 Sanamu hizo zina mikono, lakini hazishiki; zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala haziongei kutoka viywani mwao.
Ruke imaju, a ne hvataju, noge imaju, a ne hodaju; glas im iz grla ne izlazi.
8 Wale wanao zitengeneza wanafanana nazo, vile vile yeyote anaye amini katika hizo.
Takvi su i oni koji ih napraviše i svi koji se u njih uzdaju.
9 Israeli, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
Dome Izraelov, u Jahvu se uzdaj! - On je štit i pomoćnik njihov.
10 Nyumba ya Haruni, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
Dome Aronov, u Jahvu se uzdaj! - On je štit i pomoćnik njihov.
11 Ninyi mnao mheshumu Yahwe, mwamini yeye; yeye ni msaada wenu na ngao yenu.
Štovatelji Jahvini, u Jahvu se uzdajte! - On je štit i pomoćnik njihov.
12 Yahwe hutukumbuka sisi na atatubariki; ataibariki familia ya Israeli; atabariki familia ya Haruni.
Jahve će se nas spomenut' i on će nas blagoslovit': blagoslovit će dom Izraelov, blagoslovit će dom Aronov,
13 Atawabariki wale wanao muheshimu yeye, wote vijana na wazee.
blagoslovit će one koji se Jahve boje - i male i velike.
14 Yahwe na awaongeze ninyi zaidi na zaidi, ninyi pamoja na watoto wenu.
Umnožio vas Jahve, vas i vaše sinove!
15 Yahwe na awabariki, aliyeziumba mbingu na nchi.
Blagoslovio vas Jahve koji stvori nebo i zemlju!
16 Mbingu ni za Yahwe; lakini nchi amewapa wanadamu.
Nebo je nebo Jahvino, a zemlju dade sinovima čovječjim.
17 Wafu hawamsifu Yahwe, wala wote washukao chini kwenye ukimya;
Ne, Jahvu mrtvi ne hvale, nitko od onih što siđu u Podzemlje.
18 bali tutamtukuza Yahwe sasa na hata milele. Msifuni Yahwe.
Mi živi, mi Jahvu slavimo sada i dovijeka. Aleluja.

< Zaburi 115 >