< Zaburi 114 >
1 Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
Halleluja! Als Israel aus Ägypten auszog, Jakobs Haus aus dem Volk fremder Sprache,
2 Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
da ward Juda sein Heiligtum, Israel sein Herrschaftsgebiet.
3 Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
Das Meer sah es und floh, der Jordan wandte sich rückwärts,
4 Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
die Berge hüpften wie Widder, die Hügel gleichwie Lämmer.
5 Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
Was war dir, o Meer, daß du flohest, dir, Jordan, daß du dich rückwärts wandtest?
6 Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
(Was war euch) ihr Berge, daß ihr hüpftet wie Widder, ihr Hügel gleichwie Lämmer?
7 Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
Vor dem Anblick des Herrn erbebe, du Erde, vor dem Anblick des Gottes Jakobs,
8 Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.
der Felsen wandelt zum Wasserteich, Kieselgestein zum sprudelnden Quell!