< Zaburi 114 >
1 Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
Alléluiah! Lorsque Israël sortit d'Egypte, et la maison de Jacob d'un peuple barbare,
2 Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
Juda devint son peuple saint, Israël sa puissance.
3 Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
La mer le vit, et s'enfuit; le Jourdain retourna en arrière.
4 Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
Les montagnes bondirent comme des béliers, et les collines comme des agneaux.
5 Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
Qu'avais-tu en toi, ô mer, pour fuir ainsi, et toi, Jourdain, pour retourner en arrière?
6 Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
Et vous, montagnes, pourquoi bondissiez-vous comme des béliers, et vous, collines, comme des agneaux?
7 Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
La terre a tremblé à la face du Seigneur, à la face du Dieu de Jacob,
8 Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.
Qui a changé la pierre en nappes d'eau, et la roche en fontaines.