< Zaburi 114 >

1 Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
When Israel departed from Egypt, the house of Jacob from a people of foreign tongue,
2 Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
Judah became God’s sanctuary, and Israel His dominion.
3 Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
The sea observed and fled; the Jordan turned back;
4 Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
the mountains skipped like rams, the hills like lambs.
5 Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
Why was it, O sea, that you fled, O Jordan, that you turned back,
6 Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
O mountains, that you skipped like rams, O hills, like lambs?
7 Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
Tremble, O earth, at the presence of the Lord, at the presence of the God of Jacob,
8 Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.
who turned the rock into a pool, the flint into a fountain of water!

< Zaburi 114 >