< Zaburi 114 >

1 Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
Der Israel drog ud af Ægypten, Jakobs Hus fra et Folk, som havde et fremmed Maal,
2 Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
da blev Juda til hans Helligdom, Israel til hans Herredømme.
3 Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
Havet saa det og flyede; Jordanen vendte om og løb tilbage.
4 Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
Bjergene sprang som Vædre, Højene som unge Lam.
5 Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
Hvad skete dig, du Hav! at du flyede? du Jordan! at du vendte om og løb tilbage?
6 Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
I Bjerge! at I sprang som Vædre? I Høje! som unge Lam?
7 Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
Bæv, o Jord! for Herrens Ansigt, for Jakobs Guds Ansigt;
8 Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.
han, som forvandler Klippen til en vandrig Sø, Flint til et Kildevæld!

< Zaburi 114 >