< Zaburi 114 >

1 Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
以色列出了埃及, 雅各家離開說異言之民;
2 Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
那時,猶大為主的聖所, 以色列為他所治理的國度。
3 Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
滄海看見就奔逃; 約旦河也倒流。
4 Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
大山踴躍,如公羊; 小山跳舞,如羊羔。
5 Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
滄海啊,你為何奔逃? 約旦哪,你為何倒流?
6 Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
大山哪,你為何踴躍,如公羊? 小山哪,你為何跳舞,如羊羔?
7 Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
大地啊,你因見主的面, 就是雅各上帝的面,便要震動。
8 Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.
他叫磐石變為水池, 叫堅石變為泉源。

< Zaburi 114 >