< Zaburi 114 >
1 Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
Isala: ili dunu (Ya: igobe egaga fi) ilia da ga fi soge amo Idibidi fisili, gadili ahoanoba,
2 Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
Hina Gode da Yuda fi Ea hadigi fi ilegei dagoi. Amola E da Isala: ili fi Ea fidafa ilegei.
3 Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
Maga: me Hano Wayabo da ili ba: lalu, hobea: i. Yodane Hano da yogodalu yolei.
4 Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
Goumi ilia da goudi agoane hahadiasu. Amola agolo ilia da sibi mano agoane hahadia lafia: su.
5 Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
Hano wayabo! Di da adiba: le hobeabela: ? Amola Yodane hano di da abuliba: le yogo ahoanu amo fisibala: ?
6 Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
Goumi! Di da abuliba: le goudi manoga hadiabe defele hadialula: ? Agolo soge! Dilia da abuliba: le, sibi manoga suagagala: gagadobe defele hamosula: ?
7 Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
Osobo bagade! Hina Gode da mabeba: le, Ya: igobe ea Gode Ea midadi yaguguma.
8 Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.
Bai E da igi amo afadenene hano wayabo hamosa, amola magufu adobo amo hano bubuga: su agoane hamosa.