< Zaburi 113 >
1 Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
Halleluja! Lov, I Herrens tjenere, lov Herrens navn!
2 Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
Herrens navn være lovet fra nu av og inntil evig tid!
3 Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
Fra solens opgang til dens nedgang er Herrens navn høilovet.
4 Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
Herren er ophøiet over alle hedninger, hans ære er over himmelen.
5 Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
Hvem er som Herren vår Gud, han som troner så høit,
6 atazamaye chini angani na duniani?
som ser så dypt ned, i himmelen og på jorden,
7 Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
som reiser den ringe av støvet, ophøier den fattige av skarnet
8 ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
for å sette ham hos fyrster, hos sitt folks fyrster,
9 Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!
han som lar den ufruktbare hustru bo som glad barnemor! Halleluja!