< Zaburi 113 >
1 Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
할렐루야! 여호와의 종들아 찬양하라! 여호와의 이름을 찬양하라
2 Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
이제부터 영원까지 여호와의 이름을 찬송할지로다
3 Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
해 돋는 데서부터 해 지는 데까지 여호와의 이름이 찬양을 받으시리로다
4 Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
여호와는 모든 나라 위에 높으시며 그 영광은 하늘 위에 높으시도다
5 Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
여호와 우리 하나님과 같은 자 누구리요 높은 위에 앉으셨으나
6 atazamaye chini angani na duniani?
스스로 낮추사 천지를 살피시고
7 Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
가난한 자를 진토에서 일으키시며 궁핍한 자를 거름 무더기에서 드셔서
8 ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
방백들 곧 그 백성의 방백들과 함께 세우시며
9 Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!
또 잉태하지 못하던 여자로 집에 거하게 하사 자녀의 즐거운 어미가 되게 하시는도다 할렐루야