< Zaburi 113 >
1 Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
Halleluja! Lobet, ihr Knechte des HERRN, lobet den Namen des HERRN!
2 Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
Gepriesen sei der Name des HERRN von nun an bis in Ewigkeit!
3 Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
Vom Aufgang der Sonne bis zu ihrem Niedergang sei gelobt der Name des HERRN!
4 Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
Erhaben über alle Völker ist der HERR, den Himmel überragt seine Herrlichkeit!
5 Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
Wer ist dem HERRN gleich, unserm Gott, der da thront in der Höhe,
6 atazamaye chini angani na duniani?
der niederschaut in die Tiefe, im Himmel und auf Erden?
7 Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
Er hebt aus dem Staub den Geringen empor und erhöht aus dem Schmutz den Armen,
8 ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
um ihn sitzen zu lassen neben Edlen, neben den Edlen seines Volks.
9 Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!
Er verleiht der kinderlosen Gattin Hausrecht, macht sie zur fröhlichen Mutter von Kindern. Halleluja!