< Zaburi 113 >
1 Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
Louez le Seigneur, enfants, louez le nom du Seigneur.
2 Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
Soit le nom du Seigneur béni, dès ce moment et jusqu’à jamais.
3 Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
Du lever du soleil jusqu’à son coucher, louable est le nom du Seigneur.
4 Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
Il est élevé au-dessus de toutes les nations, le Seigneur, et au-dessus des cieux est sa gloire.
5 Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
Qui est comme le Seigneur notre Dieu, qui habite dans les lieux les plus élevés,
6 atazamaye chini angani na duniani?
Et regarde les choses basses dans le ciel et sur la terre?
7 Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
Qui tire de la terre l’homme sans ressource, et qui relève du fumier le pauvre;
8 ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
Afin de le placer avec des princes, avec les princes de son peuple.
9 Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!
Qui fait habiter la femme stérile dans une maison où il lui donne la joie d’être mère de plusieurs enfants.