< Zaburi 113 >

1 Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
Alléluiah! Louez le Seigneur, enfants, louez le nom du Seigneur.
2 Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
Béni soit le nom du Seigneur, maintenant et dans tous les siècles.
3 Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
De l'Orient à l'Occident, le nom du Seigneur est digne de louange.
4 Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
Le Seigneur est élevé sur toutes les nations; et sa gloire, au-dessus des cieux.
5 Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
Qui est comme le Seigneur notre Dieu, qui habite les hauteurs des cieux,
6 atazamaye chini angani na duniani?
Et regarde les humbles dans le ciel et sur la terre?
7 Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
Il retire l'indigent de la poussière, il relève le pauvre de la fange,
8 ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
Pour les faire asseoir avec les princes, avec les princes de son peuple.
9 Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!
Il fait demeurer la femme stérile dans sa maison, où elle trouve les joies d'une mère en ses enfants.

< Zaburi 113 >