< Zaburi 113 >

1 Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
Halleluja! Ylistäkää, te Herran palvelijat, ylistäkää Herran nimeä.
2 Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
Siunattu olkoon Herran nimi nyt ja iankaikkisesti.
3 Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
Auringon noususta sen laskuun saakka olkoon Herran nimi ylistetty.
4 Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
Herra on korkea yli kaikkien pakanakansain, yli taivasten kohoaa hänen kunniansa.
5 Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
Kuka on niinkuin Herra, meidän Jumalamme, joka korkealla asuu
6 atazamaye chini angani na duniani?
ja katsoo syvälle-taivaassa ja maassa?
7 Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
Hän, joka tomusta nostaa alhaisen, korottaa loasta köyhän
8 ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
asettaaksensa hänet ruhtinasten rinnalle, hänen kansansa ruhtinasten rinnalle,
9 Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!
joka antaa hedelmättömän asua kodissa, iloisena lasten äitinä! Halleluja!

< Zaburi 113 >