< Zaburi 111 >

1 Msifuni Yahwe. Nitamshukuru Yahwe kwa moyo wangu wote katikati ya kusanyiko la wanye haki, na katika mkutano.
ヱホバを讃たたへよ 我はなほきものの會あるひは公會にて心をつくしてヱホバに感謝せん
2 Kazi za Yahwe ni kuu, zikisubiriwa na wale wazitamanio.
ヱホバのみわざは大なりすべてその事跡をしたふものは之をかんがへ究む
3 Kazi yake ni adhama na utukufu, na haki yake yadumu milele.
その行ひたまふところは榮光ありまた稜威あり その公義はとこしへに失することなし
4 Hufanya mambo makuu ambayo yatakumbukwa; Yahwe ni mwenye huruma na neema.
ヱホバはその奇しきみわざを人のこころに記しめたまへり ヱホバはめぐみと憐憫とにて充たまふ
5 Huwapa chakula wafuasi wake waaminifu. Siku zote atalikumbuka agano lake.
ヱホバは己をおそるるものに糧をあたへたまへり またその契約をとこしへに心にとめたまはん
6 Alionesha uweza wa kazi zake kwa watu wake kwa kuwapa urithi wa mataifa.
ヱホバはもろもろの國の所領をおのれの民にあたへてその作爲のちからを之にあらはしたまへり
7 Kazi za mikono yake ni za kuaminika na haki; maagizo yake yote ni ya kuaminika.
その手のみわざは眞實なり公義なり そのもろもろの訓諭はかたし
8 Yamethibitika milele, yamefanywa katika uaminifu na vizuri.
これらは世々かぎりなく堅くたち眞實と正直とにてなれり
9 Aliwapa ushindi watu wake; aliliteuwa agano lake milele; jina lake ni takatifu na lakutisha.
ヱホバはそのたみに救贖をほどこし その契約をとこしへに立たまへり ヱホバの名は聖にしてあがむべきなり
10 Kumcha Yahwe ni mwanzo wa hekima; wale washikao maagizo yake wana uelewa mzuri. Sifa yake yadumu milele.
ヱホバをおそるるは智慧のはじめなり これらを行ふものは皆あきらかなる聰ある人なり ヱホバの頌美はとこしへに失ることなし

< Zaburi 111 >